Jioni - Voice Of America

Papa Francis anaendelea na matibabu ikiwa ni siku ya 17 toka alazwe - Machi 02, 2025

Informações:

Synopsis

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.