Synopsis
Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.
Episodes
-
Taarifa ya Habari 31 Julai 2025
01/08/2025 Duration: 05minWanafunzi milioni tatu nchini Australia wata punguziwa deni zao za elimu, hii ni baada ya muswada wa Labor ulio tazamiwa sana kupitishwa bungeni hii leo.
-
Taarifa ya Habari 29 Julai 2025
29/07/2025 Duration: 16minWaziri Mkuu Anthony Albanese amesema anaendeleza juhudi zakupunguza shinikizo za gharama ya maisha, akimulika mpango wakupunguza bei za madawa.
-
Je ni bora kuhudumia mtu mwenye ugonjwa wakusahau nyumbani au la?
29/07/2025 Duration: 10minKuna aina nyingi ya magonjwa yanayo athiri akili, baadhi yanaweza tibiwa na mengine hayana tiba.
-
Muthoni "kuna vitu unaweza fanya kupunguza kasi ya ugonjwa wa dementia"
25/07/2025 Duration: 14minKuna aina nyingi ya magonjwa yanayo athiri akili, baadhi yanaweza tibiwa na mengine hayana tiba.
-
Taarifa ya Habari 25 Julai 2025
25/07/2025 Duration: 15minAustralia imefanya makubaliano makubwa na Marekani katika jaribio lakupewa msamaha wa ushuru, kwa kuondoa Marufuku kwa nyama ya Marekani. Hadi sasa, marufuku hiyo ilitumiwa kwa nyama ya ng’ombe walio toka katika nchi za tatu, au ambao asili yao haijulikani.
-
Australia Yafafanuliwa: pengo la elimu yawa Australia wa Asili na njia ya mbele
25/07/2025 Duration: 16minElimu ni njia yakupata fursa ila, kwa muda mrefu wanafunzi wa Asili nchini Australia, wame kabiliana na vizuizi vya kupata mafanikio.
-
Taarifa ya Habari 24 Julai 2025
24/07/2025 Duration: 06minAustralia imefanya makubaliano makubwa na Marekani katika jaribio lakupewa msamaha wa ushuru, kwa kuondoa Marufuku kwa nyama ya Marekani. Hadi sasa, marufuku hiyo ilitumiwa kwa nyama ya ng’ombe walio toka katika nchi za tatu, au ambao asili yao haijulikani.
-
Dr Nadine "Afrika Diaspora Co-operative itatupa fursa za uwekezaji"
23/07/2025 Duration: 12minWanachama wa jamii zenye asili ya Afrika wanao ishi jimboni New South Wales, wame ungana kuunda shirika linalo toa fursa za uwekezaji wa muda mrefu.
-
SBS Learn Eng Ep 43 Jinsi yakuzungumza kuhusu kusoma na vitabu
22/07/2025 Duration: 14minJe, unajua jinsi yaku zungumza kuhusu kusoma na vitabu?
-
Taarifa ya Habari 22 Julai 2025
22/07/2025 Duration: 14minWaziri Msaidizi wa Waziri Mkuu amesema serikali iko tayari kuwafanyia kazi wa Australia, katika kikao cha kwanza cha bunge la shirikisho hii leo.
-
Msimu mpya wa Bunge wafunguliwa Canberra- kwa wakongwe na wageni
22/07/2025 Duration: 14minWanasema siasa hutengeza wenza wa ajabu, na bunge la 48 limejaa wenza hao.
-
Rwanda yajipata pabaya katika ripoti ya kamati ya usalama ya Umoja wa Mataifa
07/07/2025 Duration: 07minRipoti ya siri ya watalaam wa Umoja wa Mataifa imeishtumu Rwanda kwa kutoa maagizo na kudhibiti shughuli za waasi wa M23.
-
Taarifa ya Habari 4 Julai 2025
04/07/2025 Duration: 15minKamishna wa zamani wa tume yakifalme ame kosoa serikali, kwa kufeli kuchukua hatua haraka kwa mfumo wakitaifa wakufanya ukaguzi kwa ajili yakufanya kazi na watoto.
-
Jinsi pombe inavyodhibitiwa na kutumiwa nchini Australia
04/07/2025 Duration: 15minHuenda umesikia kwamba wa Australia ‘ni maarufu kwa kunywa’, haswa wakati wa matukio makubwa ya michezo au katika siku kuu za umma.
-
Shangwe na furaha ya shuhudiwa jijini Fairfield, NSW
03/07/2025 Duration: 06minWanachama wa jumuiya ya DR Congo wanao ishi jimboni NSW, Australia walijumuika kwa sherehe maalum katika uwanja wa Fairfield Park, Fairfield, NSW.
-
Taarifa ya Habari 1 Julai 2025
01/07/2025 Duration: 15minMamia ya wafanyakazi wa huduma za dharura, helikopta na magari yawataalam yako katika hali ya tahadhari wakati kimbunga kina elekea katika maeneo ya kanda yanayo endelea kupona mafuriko mabaya katika eneo la Kaskazini New South Wales.
-
Uwakilishi wa Mataifa ya Kwanza katika vyombo vya habari: Nini kinabadilika, kwa nini ni muhimu
01/07/2025 Duration: 12minUwakilishi wa WaAustralia wa Asili katika vyombo vya habari kihistoria umechangiwa na mila potofu na kutengwa ila, hali hii inabadilika pole pole.
-
Taarifa ya Habari 30 Juni 2025
30/06/2025 Duration: 07minAnthony Albanese amesema Australia haita ongeza matumizi yake ya ulinzi mwezi wa Aprili ijayo kama sehemu ya mkakati wa ulinzi wa taifa, baada ya wito kutoka Marekani kupiga jeki bajeti ya Ulinzi.
-
Wakenya waingia debeni jimboni Victoria
27/06/2025 Duration: 13minWanachama wa Jumuiya yawa Kenya wanao ishi Victoria (KCV), wanashiriki katika uchaguzi wa bodi mpya ya viongozi wao.
-
Taarifa ya Habari 27 Juni 2025
27/06/2025 Duration: 15minWaziri Mkuu wa Anthony Albanese ametetea msimamo wa serikali kwa matumizi ya ulinzi, nakutupilia mbali wito kutoka utawala wa Trump kuongeza matumizi hadi asilimia 3.5 ya pato la taifa.