Habari Za Un
Katibu Mkuu afuturu na wakimbizi wa Rohingya nchini Bangladesh
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:01:51
- More information
Informações:
Synopsis
Leo Ijumaa ikiwa ni siku ya 11 ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amefuturu na wakimbizi wa Rohingya walioko kwenye kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani, Cox Baazar nchini Bangladesh kuonesha mshikamano na wakimbizi na wenyeji wanaowahifadhi. Anold Kayanda na maelezo zaidi.