Habari Za Un

Azimio la Beijing limeleta manufaa kwa wanawake Côte d'Ivoire - Francine

Informações:

Synopsis

Kutana na Francine Aka Epse Akaanghui  Rais wa Chama cha wanasheria wanawake nchini Côte d'Ivoire huko Afrika Magharibi. Yeye anashiriki mkutano wa 69 wa Hali ya Wanawake duniani, CSW69 akisema taifa lake lina mengi ya kujivunia wakati huu wa kuadhimisha miaka 30 tangu kupitishwa kwa Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji. Francine amezungumza na Assumpta Massoi katika makala hii.