Habari Za Un
Tutafute majadiliano badala ya kugawanyika - Guterres
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:01:50
- More information
Informações:
Synopsis
Ikiwa kesho Februari 4 ni Siku ya Kimataifa ya Udugu wa Kibinadamu, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres,kupitia ujumbe mahususi kwa ajili ya siku hii ametoa wito wa kuimarisha umoja, usawa, na kuheshimiana katika kipindi hiki cha ongezeko la ubaguzi na kutovumiliana duniani. Anold Kayanda na maelezo zaidi.