Habari Za Un
Maandamano huko Goma DRC, wakimbizi waomba UN iwafikishie misaada
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:03:44
- More information
Informações:
Synopsis
Ikiwa ni wiki moja sasa tangu waasi wa M23 watangaze kutwaa Goma, jimboni Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, na kisha serikali kutangaza Beni kuwa mji mkuu wa sasa wa jimbo hilo, hii leo Jumatatu Februari 3, maandamano makubwa ya amani yamefanyika mjini Beni, yakiongozwa na mashirika ya kiraia na wananchi. Taarifa zaidi na Assumpta Massoi