Synopsis
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Episodes
-
Kenya: Haki ya matumizi ya vyombo vya dijitali
10/06/2025 Duration: 10minKadri Afrika inavyozidi kuingia katika ulimwengu wa kidijitali, kila siku mamilioni ya watu wanaingia mitandaoni—kutafuta taarifa, kuwasiliana, kufanya biashara na hata kushiriki mijadala ya kisiasa. Lakini swali kuu ni Je, watu wote wanaelewa haki zao katika mazingira haya mapya ya kidijitali? Skiza makala haya kufahamu mengi.
-
Kenya : Haki ya wanaume na wanawake
03/06/2025 Duration: 10minKwenye makala haya tunaendeleza mahojiano yetu na Njeri mwangi mwanaharakati wa kutetea haki za kijisia Njeri mwangi Skiza makala Kufahamu mengi
-
Kenya : Harakati za kutetea jinsia
31/05/2025 Duration: 10minNchini Kenya, harakati za kutetea njisia inazidi kushika moto mwanaharakati Njeri Mwangi, akiendelea kuhamasisha raia. Skiza makala haya kufahamu mengi.
-
Amnesty International : Saudi Arabia inawanyanyasa wafanyakazi wa nyumbani
23/05/2025 Duration: 09minShirika la Amnesty International imeitaka serikali ya Kenya pamoja na ile ya Saudi Arabia kushiriiana na kuweka mikakati ya kuhakikisha haki za raia wa Kenya wanaofanya kazi katika mataifa ya Ugaibini hazitatiziki. Katika ripot iyake Amnesty imesema kuwa wanawake wanaofanya kazi za nyumbani huko Uarabuni wanapitia mateso za kijinsia, kunyanyashwa kimapato na hata kuuawa.