Sbs Swahili - Sbs Swahili

Waziri Mkuu atembelea vikosi vya taifa Dubai akielekea katika kongamano la NATO

Informações:

Synopsis

Wanachama wa serikali ya Waziri Mkuu Anthony Albanese, wanapokea kwa ukarimu ng’ambo kabla ya kongamano la NATO mjini Madrid wiki hii.