Sbs Swahili - Sbs Swahili

Taarifa ya Habari 29 Agosti 2025

Informações:

Synopsis

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema Richard Marles alikuwa na mkutano wenye tija na mshiriki wake kutoka Marekani Pete Hegseth, huku kukiwa mkanganyiko kuhusu kama, kuna mkutano rasmi ulio fanyika kati yao.