Jua Haki Zako
Mashambulizi kupitia mitandao ya kijamii
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:56
- More information
Informações:
Synopsis
Mitandao ya kijamii na teknolojia za kidijitali zimekuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku. Tunawasiliana, tunajifunza, tunafanya biashara na hata kushiriki mijadala ya kitaifa kupitia mitandao. Lakini pamoja na manufaa haya, kumekuwa pia na changamoto kubwa: mashambulizi ya maneno, udukuzi wa akaunti, na hata ulaghai wa kifedha. Skiza makala haya kufahamu mengi.