Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako Chako Changu mahakama ya jadi kutoka kabila la Wameru sehemu ya kwanza
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:20:02
- More information
Informações:
Synopsis
Kwenye makala haya utapata kufahamu mahakama hii ya Jadi nchini Kenya kutoka Kabila la Wameru ambayo inakubalika na serikali katika utatuzi wa mizozo mbalimbali kutoka jamii ya wameru. Utapa pia kufahamu historia ya msanii kutoka nchini Ufaransa Hiro le Coq.