Wimbi La Siasa
Serikali ya umoja wa kitaifa itasuluhisha mzozo wa DRC ?
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:10:12
- More information
Informações:
Synopsis
Wakati huu serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, inapoendelea kukabiliwa na changamoto ya usalama Mashariki mwa nchi hiyo, baada ya waasi wa M23 kuingia katika miji ya Bukavu na Goma, rais Felix Tshisekedi ametangaza mpango wa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kuwashirikisha wanasiasa wa upinzani.Tunajadili iwapo hatua hii itasaidia kutatua mzozo wa mashariki mwa DRC.