Jioni - Voice Of America

Afisa wa polisi nchini Kenya aliyepelekwa Haiti kama sehemu ya kikosi cha usalama chini ya Umoja wa Mataifa ameuawa akiwa kazini huko Haiti - Februari 24, 2025

Informações:

Synopsis

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.