Gurudumu La Uchumi
Afrika inajifunza nini baada ya Marekani kusitisha kwa muda misaada ya nje.
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:48
- More information
Informações:
Synopsis
Juma hili katika makala ya Gurudumu la Uchumi, tunajadili kuhusu athari za hatua ya Marekani kusitisha kwa muda utoaji wa misaada ya nje. Uamuzi huu tayari umeonekana kutishia baadhi ya sekta zilizokuwa zinasaidiwa kupitia USAID kama vile Afya na Elimu.Tumezungumza na Ali Mkimo, mchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.