Wimbi La Siasa
Nini hatima ya Afrika baada ya Trump kusitisha misaada ?
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:10:19
- More information
Informações:
Synopsis
Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya kurejea madarakani Januari 20, ametangaza hatua ya serikali yake, kusitisha misaada hasa ya kifedha kwa nchi za kigeni, kupitia Shirika la Misaada ya Kimataifa (USAID).Hatua hii inamaanisha nini hasa kwa mataifa ya Afrika ? Tunajadili hili kwa akina na Suba Churchil, rais wa kituo cha taifa cha mashirika ya kiraia akiwa jijini Arusha Tanzania.