Sbs Swahili - Sbs Swahili

Bw Omari "watu wana anza sema wakati wa Kabila ulikuwa afadhali kuliko sasa"

Informações:

Synopsis

Hali ya usalama inavyo zidi kudorora katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ndivyo serikali ya Rais Tshisekedi inavyo zidi kuwa chini ya shinikizo kubwa.