Sbs Swahili - Sbs Swahili
Shinikizo ya gharama yamaisha yafanya wanafunzi wasajiliwe katika shule za umma
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:07:24
- More information
Informações:
Synopsis
Mwaka wa shule wa 2025 ume anza hii leo Jummanne 28 Januari katika majimbo ya Queensland na Kusini Australia, wanafunzi wa shule za msingi na upili wanatarajia kurejea shuleni kesho Jumatano 29 Januari katika jimbo la Victoria na Wilaya ya Kaskazini.