Jioni - Voice Of America
Marekani imewawekea vikwazo maafisa wa ngazi ya juu wa serikali ya Uganda - Mei 30, 2024
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:29:59
- More information
Informações:
Synopsis
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.